Mlaki Mlaki Author
Title: WAUGUZI: MSITUTIE MAJARIBUNI NA MAVAZI YENU
Author: Mlaki
Rating 5 of 5 Des:
Moja ya kilio cha mtanzania mmoja  katika hospitali Fulani (jina kapuni) alizungumza na E Gossip 5 na kusema haya ya moyoni mwake, S...


Moja ya kilio cha mtanzania mmoja  katika hospitali Fulani (jina kapuni) alizungumza na E Gossip 5 na kusema haya ya moyoni mwake,

Serikali inabidi ipige marufuku hawa manesi wa Hospitali za umma kuvaa magauni mafupi wanawatia majaribuni wagonjwa wa kiume. Yaani unakuta nesi anaenda kumhudumia mgonjwa kavaa gauni fupi ana guu la maana laini linang'aa. Sasa huku ni kuwapa majaribu wagonjwa wetu ukizingatia wagonjwa wengine wamekaa hospitali miezi mingi wana ukame.


Wewe mpenzi wa blog hii ya jamii toa maoni yako juu ya kilio hiki Je? Ni kweli manesi wanakiuka taratibu na maadili ya kazi yao?

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top