Mlaki Mlaki Author
Title: ZITTO KABWE: NITAJIUZULU UBUNGE SERIKALI IKIONESHA TANI MILLIONI 1.5 ZA MAHINDI
Author: Mlaki
Rating 5 of 5 Des:
  Baada ya serikali kutangaza kua itatoa tani millioni moja na nusu (1.5millioni). Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma Mjini asema Serikal...
 

Baada ya serikali kutangaza kua itatoa tani millioni moja na nusu (1.5millioni).

Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma Mjini asema Serikali ya CCM ikinionyesha tani 1.5m za chakula ambazo inataka kusambaza najiuzulu Ubunge mara moja.

Narudia, mpaka Oktoba 2016 kulikuwa na nafaka tani 90,400 tu Hivi kwenye maghala yote ya NFRA.

Tunashukuru kuwa Hivi sasa ajenda ya tishio la njaa inapata majawabu na matamko. Ndio wajibu wa vyama vya siasa. Kuibua masuala muhimu kwa nchi yetu.


Nimesikia Mwenezi wa CCM ameongea na waandishi Leo. Natarajia ndugu Ado Shaibu atamkaribisha mwenzake ulingoni

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top