Mlaki Mlaki Author
Title: AMBER LULU: NIMEWAHI KUSHIKA MIMBA YA BARNABA!
Author: Mlaki
Rating 5 of 5 Des:
Mmoja kati ya ma-video Qeen wakali na wanaokiki zaidi hapa TZ ni huyu hapa Amber Lulu, mrembo ambaye amefanikiwa kujizolea umaarufu mku...

Mmoja kati ya ma-video Qeen wakali na wanaokiki zaidi hapa TZ ni huyu hapa Amber Lulu, mrembo ambaye amefanikiwa kujizolea umaarufu mkubwa kutokana na picha zake za mitego katika mitandao.

Mrembo Amber Lulu amewaacha watanzania na mashabiki wake wengi mdomo wazi baada ya kufunguka kuwa amewahi kubeba ujauzito wa msanii mkali wa Bongo Fleva Barnaba Classic ila kwa bahati mbaya ujauzito huo uliharibika.


Amber amefunguka hayo na kudai kuwa hakuwa na nia ya kuitoa mimba hiyo bali alitaka kujifungua ila kwa bahati mbaya ikaharibika.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top